Washiriki wa Uzinduzi wa Mwongozo wa Ushirikiano wa Wadau katika Upelelezi wa Utakatishaji Fedha Haramu, Ugaidi na Ufadhili wa Ugaidi wakifuatilia kwa umakini hotuba ya mgeni rasmi wakati akihutubia kwenye hafla hiyo.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro akihutubia kwenye hafla ya Uzinduzi wa Mwongozo wa Ushirikiano wa Wadau katika Upelelezi wa Utakatishaji Fedha Haramu, Ugaidi na Ufadhili wa Ugaidi iliyofanyika tarehe 24 Mei, 2023 Jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw. Sylvester Mwakitalu akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Uzinduzi wa Mwongozo wa Ushirikiano wa Wadau katika Upelelezi wa Utakatishaji Fedha Haramu, Ugaidi na Ufadhili wa Ugaidi unaofanyika tarehe 24 Mei, 2023 Jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Mashtaka Bw. Sylvester Mwakitalu akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Mwongozo wa Ushirikiano wa Wadau katika Upelelezi wa Utakatishaji Fedha Haramu, Ugaidi na Ufadhili wa Ugaidi uliofanyika tarehe 24 Mei, 2023 Jijini Dodoma.
Washiriki wa Mafunzo elekezi kwa waajiriwa wapya wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka wakifuatilia kwa umakini mada zinazowasilishwa kwenye mafunzo hayo yanayofanyika mjini Morogoro
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Mafunzo elekezi ya awali kwa waajiriwa wapya wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Mafunzo elekezi ya awali kwa waajiriwa wapya wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka
Washiriki wa Mafunzo elekezi ya awali kwa waajiriwa wapya wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro wakati akihutubia kwenye mafunzo hayo yanayofanyika Morogoro
Washiriki wa Mafunzo elekezi ya awali kwa waajiriwa wapya wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro wakati akihutubia kwenye mafunzo hayo yanayofanyika Morogoro
Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka Bw. Joseph Pande akitoa salamu na neno la utangulizi kwenye Mafunzo elekezi kwa waajiriwa wapya wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka yanayofanyika mjini Morogoro