Wanawake kutoka Ofisi ya Taifa ya Mashtaka wameungana na wanawake wengine duniani kusherehekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo hufanyika kila tarehe 08 Machi, 2026.
Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka, Bibiana Kileo, akiongoza zoezi la upandaji miti katika viunga vya Ofisi ya Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Makao Makuu, Dodoma, tarehe 6 Machi, 2026, ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha utunzaji wa mazingira.
Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka, Bibiana Kileo, akiongoza zoezi la upandaji miti katika viunga vya Ofisi ya Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Makao Makuu, Dodoma, tarehe 6 Machi, 2026,
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Zainab Katimba akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Kikosi Kazi cha Ulinzi wa Mtoto Dhidi ya Biashara ya Usafirishaji Haramu wa Binadamu mara baada ya kutembelea katika ofisi za Kikosi Kazi hicho mnamo tarehe 23 Februari, 2026.
Mwenyekiti wa Jukwaa la Haki Jinai Taifa Bw. Sylvester Mwakitalu akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Mkutano Mkuu wa Jukwaa la Haki jinai Taifa uliofanyika tarehe 30 Januari, 2026 Makao Makuu Jijini Dodoma.
Katibu Mkuu wa Katiba na Sheria Bw. Eliakim Maswi akikabidhiwa tuzo ya heshima na Mkurugenzi wa Mashtaka Bw. Sylvester Mwakitalu kwa niaba ya Wafanyakazi wote wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka mara baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa kwanza wa Watumishi wa Ofisi hiyo tarehe 8 Desemba, 2025 Jijini Mwanza.
Mkurugenzi wa Mashtaka Bw. Sylvester Mwakitalu akikata utepe kuzindua Mwongozo wa chapa (Branding Manual) wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka katika kikao cha Menejimenti kinachofanyika mkoani Morogoro
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. George Masaju akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Kikao kazi cha Menejimenti, Viongozi wa Mikoa na Wilaya wa Taasisi zinazounda Utatu kilichofanyika tarehe 19 Agosti, 2025 Jijini Dodoma.
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. George Masaju akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Kikao kazi cha Menejimenti, Viongozi wa Mikoa na Wilaya wa Taasisi zinazounda Utatu kilichofanyika tarehe 19 Agosti, 2025 Jijini Dodoma.