Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Hafla ya Makabidhiano ya Mfumo wa Kielektroniki wa Kukusanya, Kuchakata na Kutunza Kumbukumbu za Kesi za Jinai (Case Management Information System) na Tovuti ya Ofisi ya Taifa ya Mashtaka.
Mkurugenzi wa Divisheni ya Utenganishaji wa Shughuli za Mashtaka na Upelelezi Bw. Tumaini Kweka (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Kikao kazi cha Wadau kwa ajili ya kutoa maoni ya kuboresha Rasimu ya Mwongozo wa Uendeshaji wa Kesi za Watoto kwa Waendesha Mashtaka kilichofanyika Jijini Dodoma
Washiriki wa Uzinduzi wa Mwongozo wa Ushirikiano wa Wadau katika Upelelezi wa Utakatishaji Fedha Haramu, Ugaidi na Ufadhili wa Ugaidi wakifuatilia kwa umakini hotuba ya mgeni rasmi wakati akihutubia kwenye hafla hiyo.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro akihutubia kwenye hafla ya Uzinduzi wa Mwongozo wa Ushirikiano wa Wadau katika Upelelezi wa Utakatishaji Fedha Haramu, Ugaidi na Ufadhili wa Ugaidi iliyofanyika tarehe 24 Mei, 2023 Jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw. Sylvester Mwakitalu akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Uzinduzi wa Mwongozo wa Ushirikiano wa Wadau katika Upelelezi wa Utakatishaji Fedha Haramu, Ugaidi na Ufadhili wa Ugaidi unaofanyika tarehe 24 Mei, 2023 Jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Mashtaka Bw. Sylvester Mwakitalu akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Mwongozo wa Ushirikiano wa Wadau katika Upelelezi wa Utakatishaji Fedha Haramu, Ugaidi na Ufadhili wa Ugaidi uliofanyika tarehe 24 Mei, 2023 Jijini Dodoma.
Washiriki wa Mafunzo elekezi kwa waajiriwa wapya wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka wakifuatilia kwa umakini mada zinazowasilishwa kwenye mafunzo hayo yanayofanyika mjini Morogoro
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Mafunzo elekezi ya awali kwa waajiriwa wapya wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Mafunzo elekezi ya awali kwa waajiriwa wapya wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka
Washiriki wa Mafunzo elekezi ya awali kwa waajiriwa wapya wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro wakati akihutubia kwenye mafunzo hayo yanayofanyika Morogoro