Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Juma Homera akizindua uwekaji wa jiwe la msingi la Ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS) Wilaya ya Namtumbo katika hafla iliyofanyika tarehe 11 Mei, 2026 mkoani Ruvuma.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Juma Homera akikata utepe kuashiria uzinduzi wa magari ya Ofisi ya Taifa ya Mashtaka kwenye hafla ya uzinduzi huo uliofanyika tarehe 03 Mei, 2026 Jijini Dar es salaam
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akifungua Mkutano Mkuu wa 11 wa Umoja wa Waendesha Mashtaka Ukanda wa Afrika Mashariki uliofanyika tarehe 04 hadi 06 Mei, 2026 Jijini Dar es salaam.
Rais wa Umoja wa Waendesha Mashtaka Ukanda wa Afrika Mashariki Mhe. Lino Anguzu akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Mkutano Mkuu wa 11 wa Umoja huo uliofanyika Jijini Dar es salaam tarehe 04 hadi 06 Mei, 2026.
Umoja wa Waendesha Mashtaka Ukanda wa Afrika Mashariki wazindua Mpango Mkakati wa umoja huo unaolenga kupambana na uhalifu mpya unaovuka mipaka ambao umetokana na Maendeleo ya Teknolojia.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Mkutano Mkuu wa 11 wa Umoja wa Waendesha Mashtaka Ukanda wa Afrika Mashariki uliofanyika Mei, 2026 Jijini Dar es salaam.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Juma Homera akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Mafunzo Elekezi ya Awali kwa waajiriwa wapya wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka, yaliyofanyika kuanzia tarehe 15 hadi 19 Aprili, 2026 jijini Arusha.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Zainab Katimba akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Mafunzo elekezi ya awali kwa waajiriwa wapya wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka yanayofanyika kuanzia tarehe 15 hadi 19 Aprili, 2026 Jijini Arusha
Wanawake kutoka Ofisi ya Taifa ya Mashtaka wameungana na wanawake wengine duniani kusherehekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo hufanyika kila tarehe 08 Machi, 2026.
Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka, Bibiana Kileo, akiongoza zoezi la upandaji miti katika viunga vya Ofisi ya Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Makao Makuu, Dodoma, tarehe 6 Machi, 2026, ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha utunzaji wa mazingira.