Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

OFISI YA TAIFA YA MASHTAKA

Ofisi ya Mashtaka Wilaya ya Nzega

Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Nzega Mkoani Tabora imeanzishwa rasmi mwaka 2018.

Ofisi hiyo inapatikana katika mtaa wa Uchama jengo la mamlaka Maji Nzega. mjini Nzega, Makosa makubwa yanayojitokeza katika wilaya hiyo ni mauaji,ubakaji. 

Anwani -Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Nzega

S. L P 172

Eneo/Mtaa – Uchama-Nzega  

Tovuti: www.nps.go.tz