Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

OFISI YA TAIFA YA MASHTAKA

Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Kondoa

Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Kondoa Jijini Dodoma imeanzishwa rasmi mwezi mwaka 2019.

Ofisi hiyo Inapatikana katika mtaa wa Kilimani karibu na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya

Makosa makubwa yanayojitokeza katika wilaya ya Kondoa ni pamoja na Makosa ya Usafirishaji na utumiaji wa dawa za kulevya, ubakaji, ulawiti na mauaji

Anwani -Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Kondoa

S. L. P. 32

Kondoa - Dodoma