Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

NATIONAL PROSECUTIONS SERVICES

Dira, Dhamira na Misingi Mikuu ya NPS

DIRA

Haki, amani na usalama kwa maendeleo ya Taifa.

DHIMA

Kushirikiana na wadau na kuendesha kesi bila woga, upendeleo ili kuhakikisha uwepo wa haki, amani, na usalama katika jamii.

MAADILI YA MSINGI

Maadili ya Msingi ni-

(i)Uwajibikaji: kuwajibika katika utekelezaji wa majukumu kwa wakati;

(ii)Kukubalika: uthabiti na uwezo wa kuaminika na kuthaminiwa;

(iii)Uadilifu:kwa maadili na uaminifu bila kuvumilia vitendo vya rushwa na ubadhirifu;

(iv)Uweledi: kwa kujituma,kujitoa,umahili na utaalamu ndani na nje ya ofisi;

Huduma bora:kwa kutoa huduma bora kwa kufanya kazi pamoja ,heshima na adabu