Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

OFISI YA TAIFA YA MASHTAKA

Dira, Dhamira na Misingi Mikuu ya NPS

DIRA

Huduma Bora za Mashtaka kwa wakati na usawa kwa wote.

DHIMA

Kuhakikisha huduma za Mashtaka zinazotolewa kwa ufanisi, tija kwa kuzingatia weledi, uadilifu na ushirikishaji wa wadau.

MAADILI YA MSINGI

Maadili ya Msingi ni-

(i)Uwajibikaji: kuwajibika katika utekelezaji wa majukumu kwa wakati;

(ii)Kukubalika: uthabiti na uwezo wa kuaminika na kuthaminiwa;

(iii)Uadilifu:kwa maadili na uaminifu bila kuvumilia vitendo vya rushwa na ubadhirifu;

(iv)Uweledi: kwa kujituma,kujitoa,umahili na utaalamu ndani na nje ya ofisi;

Huduma bora:kwa kutoa huduma bora kwa kufanya kazi pamoja ,heshima na adabu