Wakili wa Serikali Mwandamizi Bi. Pamela Shinyambala kwa niaba ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw. Sylvester Mwakitalu akikabidhi vifaa mbalimbali vikiwepo Mifuko ya Saruji 80, Sinki za choo 10 pamoja na Tanki za choo 10 kwa Mkuu wa Gereza Kuu Isanga ACP. Zefania Elias Neligwa mnamo tarehe 3 Julai,2024
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi kutoka Ofisi ya Taifa ya Mashtaka, Wizara ya Katiba na Sheria, Maafisa wa Magereza na Wadau wa Sheria mara baada ya ziara yake ya kutembelea Gereza Mahabusu Morogoro tarehe 16 Juni, 2024
Mkurugenzi wa Mashtaka Bw. Sylvester Mwakitalu akipokea zawadi ya tuzo kutoka Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka Bi. Bibiana Kileo na Mwenyekiti wa TUGHE Tawi la Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Bw. Bashiru Njoki ambayo imetolewa na Chama cha Wafanyakazi wa Tawi hilo kwa niaba ya Wafanyakazi wote
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka, Maafisa wa Magereza na Wadau wa Sheria mara baada ya kutembelea Gereza Kuu Isanga lililopo Jijini Dodoma tarehe 12 Juni, 2024
Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Makao Makuu Jijini Dodoma mara baada ya kumaliza ziara yake ya kutembelea ofisi hiyo iliyofanyika tarehe 04 Juni, 2024
Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Makao Makuu Jijini Dodoma mara baada ya kumaliza ziara yake ya kutembelea ofisi hiyo iliyofanyika tarehe 04 Juni, 2024
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini (katikati) akiwa katika picha ya pamoja timu ya Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia pamoja na Maafisa wa Magereza walipotembelea gereza la Wilaya ya Njombe mnamo tarehe 27 Mei, 2024
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Mary Makondo (katikati) akiwa katika picha ya pamoja timu ya Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia pamoja na Maafisa wa Magereza walipotembelea gereza la Wilaya ya Njombe mnamo tarehe 27 Mei, 2024
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw. Sylvester Mwakitalu wakijadiliana jambo ikiwa ni sehemu ya mwendelezo wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia katika Mkoa wa Njombe
Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw. Sylvester Mwakitalu akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea kwenye banda la Ofisi ya Taifa ya Mashtaka mara baada ya kushiriki kwenye Uzinduzi wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia Mkoani Njombe.