Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Kikao cha Menejimenti ya Taasisi zinazounda Utatu pamoja na Wakuu wa Mashtaka Mikoa, Wakuu wa Upelelezi Mikoa na Wakuu wa TAKUKURU Mikoa kilichofanyika Jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akimkabidhi zawadi ya kombe la ushindi kwa mshindi wa tatu (3) wa mbio za baiskeli kilomita 50 ambae ni Bw. John Mgave kutoka Mashtaka Sports Club.
Mashtaka Sports Club imeibuka na ushindi wa kupata zawadi ya kombe moja na medali mbili kutoka katika mbio za baiskeli kilometa 50 na riadha mita 200 katika mashindano ya SHIMIWI yaliyofanyika mkoani Morogoro kuanzia tarehe 18 Septemba hadi 05 Oktoba, 2024
Rais wa TLS Wakili Boniface Mwabukusi (katikati), Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw. Sylvester Mwakitalu ( wa pili kushoto) na Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bi. Bibiana Kileo (wa kwanza kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Taifa ya Mashtaka pamoja na Wajumbe wa Baraza la Uongozi wa TLS baada ya kumaliza ziara ya kutembelea Ofisi ya Taifa ya Mashtaka iliyofanyika tarehe 19 Septemba, 2024 Jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw. Sylvester Mwakitalu (katikati) na Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bi. Bibiana Kileo (watatu kushoto) wakiwa na washiriki wa mafunzo ya Upelelezi wa makosa ya Uhalifu wa Kifedha yaliyofanyika tarehe 2 Septemba, 2024 Jijini Dar es Salaam.
Picha ya pamoja ikijumuisha Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar Bi. Mwanamkaa Mohammed na Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka Bara Bi. Bibiana Kileo wakiwa na Watumishi kutoka Afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar, Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Bara na Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania mara baada ya kushiriki kwenye mafunzo ya Mfumo wa TEHAMA wa Mahakama tarehe 14 Agosti, 2024
Picha ya pamoja ikijumuisha Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar Bi. Mwanamkaa Mohammed na Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka Bara Bi. Bibiana Kileo wakiwa na Watumishi kutoka Afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar, Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Bara na Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania mara baada ya kushiriki kwenye mafunzo ya Mfumo wa TEHAMA wa Mahakama tarehe 14 Agosti, 2024
Picha ya pamoja ikijumuisha Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar Bi. Mwanamkaa Mohammed (katikati) na Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka Bara (kulia) wakiwa na Watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka walioshiriki katika ziara ya Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar iliyofanyika tarehe 12 Agosti, 2024 Makao Makuu Jijini Dodoma.
Wakili wa Serikali Mwandamizi Bi. Pamela Shinyambala kwa niaba ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw. Sylvester Mwakitalu akikabidhi vifaa mbalimbali vikiwepo Mifuko ya Saruji 80, Sinki za choo 10 pamoja na Tanki za choo 10 kwa Mkuu wa Gereza Kuu Isanga ACP. Zefania Elias Neligwa mnamo tarehe 3 Julai,2024
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi kutoka Ofisi ya Taifa ya Mashtaka, Wizara ya Katiba na Sheria, Maafisa wa Magereza na Wadau wa Sheria mara baada ya ziara yake ya kutembelea Gereza Mahabusu Morogoro tarehe 16 Juni, 2024