Bi. Bibiana  Joseph Kileo  
                    
                    
                                  
                
   
               
                    
                       Bi. Bibiana  Joseph Kileo  
                    
                    
                   
                      Wasifu
Ndugu. Bibiana Joseph Kileo , aliteuliwa tarehe 04, Aprili 2024 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka
