Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Masasi
Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Masasi
Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara imeanzishwa rasmi mwaka 2023.
Ofisi hiyo inapatikana mtaa wa Migongo, katika jengo la Halamshauri ya Mji Masasi
Makosa makubwa yanayojitokeza katika wilaya ya Masasi ni pamoja na Mauaji na kusafirisha Dawa za Kulevya
Anwani -Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Masasi
S. L. P. 145
Masasi
