Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Rufiji
Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Rufiji
Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani imeanzishwa rasmi mwezi Januari, 2025.
Ofisi hiyo Inapatikana katika Jengo la Boma – Utete.
Makosa makubwa yanayojitokeza katika wilaya ya Rufiji ni pamoja na Usafirishaji wa madawa ya Kulevya, Ubakaji, Ulawiti, Kuingia hifadhini bila kibali, kukutwa na nyara za serikali, kuvunja na kuiba pamoja na unyang’anyi wa kutumia silaha
Anwani -Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Rufiji
S. L. P. 54
Utete
