Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Sengerema
Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Sengerema
Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Sengerema Jijini Mwanza imeanzishwa rasmi mwaka 2023.
Ofisi hiyo Inapatikana katika jingo Namba 119, Bukala barabara ya Busisi karibu na sheli ya Silya
Makosa makubwa yanayojitokeza katika wilaya ya Sengerema ni pamoja na Makosa ya Ukatili wa kijinsia, mauaji na makosa ya misitu
Anwani -Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Sengerema
S. L. P. 315
Sengerema - Mwanza
