Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

OFISI YA TAIFA YA MASHTAKA

Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Kibiti

Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Kibiti Mkoani Pwani imeanzishwa rasmi Septemba, 2025.

Ofisi hiyo inapatikana katika mtaa wa Mtaa wa Saro karibu na msikiti

 Makosa makubwa yanayojitokeza katika wilaya ya Iramba  ni pamoja na Kulawiti, ubakaji, kukutwa na nyara za serikali, wizi wa korosho pamoja na ufuta

Anwani -Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Kibiti

S. L. P. 09

Kibiti