Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

OFISI YA TAIFA YA MASHTAKA

Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Iramba

Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Iramba Mkoani Singida imeanzishwa rasmi Novemba, 2024.

Ofisi hiyo inapatikana katika mtaa wa Mtaa wa Lulumba ndani ya jengo la World Vision Fund

 Makosa makubwa yanayojitokeza katika wilaya ya Iramba  ni pamoja na  Mauaji, Kulawiti, ubakaji, kujeruhi,wizi, shambulio la aibu, unyang’anyi wa kutumia silaha, kujaribu kuua

Anwani -Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Wilaya ya Kilindi

S. L. P. 03

Kiomboi Iramba