Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkr. John Magufuli amemwapisha Naibu Mkurugenzi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka 
                                
                                
                                              
                            
   
                         
                                
                                  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkr. John Magufuli amemwapisha Naibu Mkurugenzi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka 
                                
                                
                              
                                
                                     
                                    27 Jun, 2018
                                
                            
                         
                            Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkr. John Magufuli amewaapisha Majaji 10, Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Naibu Mkurugenzi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka, Wakili Mkuu wa Serikali na Naibu Wakili Mkuu wa Serikali aliowateua hivi karibuni.
