Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

NATIONAL PROSECUTIONS SERVICES

Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) Bw:Biswalo E.K Mganga akikabidhiwa vifaa vya TEHAMA kutoka TCRA
27 May, 2020
Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) Bw:Biswalo E.K  Mganga akikabidhiwa vifaa vya TEHAMA kutoka   TCRA

Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) Bw: Biswalo E.K Mganga akikabidhiwa vifaa vya TEHAMA kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) katika hafla fupi iliyofanyika katika Ofisi ya Taifa ya Mashtaka mjini Dodoma, kulia ni Mkurugenzi wa Sheria wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA) Bw: Joannes Karungura