Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

NATIONAL PROSECUTIONS SERVICES

slider
Washiriki wa kikao kazi cha Uandaaji wa Taarifa ya Utekelezaji wa Majukumu Nusu Mwaka 2022/2023, Re-allocation na Maoteo ya Bajeti 2022/2023 wakifuatilia hotuba ya Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka Bw. Joseph Pande wakati akihutubia kwenye kikao kazi hicho kinachofanyika Jijini Arusha