TANZIA
TANZIA
23 Dec, 2023
10:00AM - 06:00PM
KAHAMA
0763257248
Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw. Sylivester Mwakitalu anasikitika kutangaza kifo cha Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw. Joseph Pande kilichotokea tarehe 20 Desemba, 2023 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Jijini Dar es salaam
Mazishi yatafanyika siku ya Jumamosi tarehe 23 Desemba,2023 Mkoani Shinyanga katika Wilaya ya Kahama
Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.
![TANZIA](https://www.nps.go.tz/uploads/events/dd037c937766800f51b3837c22e20411.jpeg)