KENYA WAKABIDHI DHAHABU KWA MHE. RAIS 
                                
                                
                                              
                            
   
                         
                                
                                  KENYA WAKABIDHI DHAHABU KWA MHE. RAIS 
                                
                                
                              
                                
                                     
                                    28 Aug, 2019
                                
                            
                        
                            Wawakilishi wa Jamhuri ya Kenya wakimkabidhi Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli dhahabu zilizokua zimetoroshwa kutoka Tanzania kwenda nchini Kenya ambazo Kenya walizirudisha nchini ili zitumike kama kielelezo kwenye kesi iliyofunguliwa Mwanza