Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

NATIONAL PROSECUTIONS SERVICES

Kitengo cha Masijala ya Sheria

Lengo: kutoa huduma za masjala katika Ofisi ya Taifa ya Mashtaka.

Kitengo hiki kitakuwa na majukumu yafuatayo:

(i) Kusajili na kutunza rejesta ya kesi zote zilizofunguliwa mahakamani na zina zoshughulikiwa na mkurugenzi wa mashtaka;

(ii) Kupeleka nyaraka zinahusiana na kesi zinazomuhusu mkurugenzi wa mashtaka;

(iii) Kutunza majalada ya kesi zinazoshughulikiwa na mkurugenzi wa mashtaka; na

(iv) Kupokea na kutuma majalada ya kesi kutoka na kwenda kwa taasisi uchunguzi.

Kitengo kitaongozwa na Katibu Sheria Mkuu.